Di’ja amekuwa gumzo nchini Nigeria baada ya kutangaza si tu kuwa
alifunga ndoa, bali pia amepata mtoto wa kiume. Hakuna aliyekuwa anajua
mambo hayo.
Aliamua kutangaza habari hiyo njema kwa kuweka video ya animation
kuelezea hatua zote kuanzia alipochumbiwa, kufunga ndoa na kisha kupata
mtoto.
“So Thankful to the Almighty for an amazing journey. Thank you to my
family and amazing friends for your ongoing support. Thank you to my
Mavin family who are forever providing me with guidance and last but not
least my amazing fans for their undying love, well wishes and badASS
encouragement. I could not be DI’JA without you,” ameandika kwenye
Instagram.
Mume wake anaitwa Rotimi.
Watatu mbaroni kwa kusafirisha dawa za kulevya
-
DAR ES SALAAM: WAKAZI watatu wa Kigamboni mkoani Dar es Salaam
wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa
na mashtaka y...
4 months ago
Post a Comment