banner

July 01, 2016

DI'JA AMEFUNGUKA KUWA SI ALIFUNGA NDOA TU BALI AMEPATA NA MTOTO WA KIUME

DI'JA AMEFUNGUKA KUWA SI ALIFUNGA NDOA TU BALI AMEPATA NA MTOTO WA KIUME

Di’ja amekuwa gumzo nchini Nigeria baada ya kutangaza si tu kuwa alifunga ndoa, bali pia amepata mtoto wa kiume. Hakuna aliyekuwa anajua mambo hayo.

Aliamua kutangaza habari hiyo njema kwa kuweka video ya animation kuelezea hatua zote kuanzia alipochumbiwa, kufunga ndoa na kisha kupata mtoto.

“So Thankful to the Almighty for an amazing journey. Thank you to my family and amazing friends for your ongoing support. Thank you to my Mavin family who are forever providing me with guidance and last but not least my amazing fans for their undying love, well wishes and badASS encouragement. I could not be DI’JA without you,” ameandika kwenye Instagram.

Mume wake anaitwa Rotimi.

Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search