Mshambuliaji toka Sweden Ibrahimovic leo ametia saini mkataba wa mwaka
mmoja kuichezea Manchester United. Hii ni baada ya muda mrefu wa uvumi
kuhusu klabu atakayotua baada ya kuihama klabu ya PSG.
Watatu mbaroni kwa kusafirisha dawa za kulevya
-
DAR ES SALAAM: WAKAZI watatu wa Kigamboni mkoani Dar es Salaam
wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa
na mashtaka y...
4 months ago
Post a Comment