Imethibitishwa kuwa Jumanne ya Tarehe 2 ndiyo siku rasmi ya ngoma kuachiwa kwa mashabiki ikiwa ngoma hiyo imepikwa na producer Rash Don wa Kiri Records ikiwa Video Staminah alithibitisha kufanywa na Msafiri wa Kwetu Studios.
Aliithibitisha kauli hiyo msanii Stereo baada ya ku post katika ukurasa wake wa Instagram cover ya remix hiyo inayo vikutanisha vichwa vitatu vya muziki wa Hiphop Tanzania.
Post a Comment