Muigizaji Wema Sepetu ni miongoni mwa wanachama wapya wa Chadema wanaotarajiwa kukaribishwa leo na Mwenyekiti, Freeman Mbowe.
Habari hizo zimekuja baada ya Wema Sepetu kuonekana Makahama kuu na viongozi Wa chadema wakati kesi ya kikatiba ya Freeman Mbowe ikiwasilishwa Mahakamani hapo.