LEO Ligi Kuu Bara inaendelea ambapo timu 10 zitakuwa uwanjani kumenyana kutafuta pointi tatu muhimu kwenye viwanja vitano tofauti kama ifuatavyo:-
Ndanda v Lipuli, uwanja wa Nangwanda.
Mwadui FC v Lyon, uwanja wa Mwadui Complex.
Azam v Mtibwa, uwanja wa Azam.
Yanga v Mbeya City, uwanja wa Uhuru.
Alliance FC v Stand United, uwanja wa Nyamagana.
Post a Comment