banner

June 20, 2019

SIMBA YASAJILI BEKI WA KATI MBRAZIL, TAYARI YUKO JIJINI DAR

SIMBA YASAJILI BEKI WA KATI MBRAZIL, TAYARI YUKO JIJINI DAR




Mabingwa wa Soka Tanzania, Simba wameamua kuhamia nchini Brazil na kumsajili beki wa kati, Gerson Fraga Vieira.

Vieira yuko nchini na imeelezwa ana uwezo wa kucheza pia kama kiungo mkabaji na Simba itakamilisha kila kitu kesho Alhamisi.

Mbrazil huyo amewahi kukipiga nchini India ambako soka linachipukia kwa kasi kubwa.


Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search