banner

July 16, 2019

MTAMBO MPYA YANGA WATUA UWANJA WA NDEGE DAR

MTAMBO MPYA YANGA WATUA UWANJA WA NDEGE DAR


Mshambuliaji wa kimataifa wa Namibia Sadney Urikhob amewasili tayari Tanzania kwa ajili ya kujiunga na klabu ya Yanga.

Urikhob ametua nchini na sasa ataelekea mjini Morogoro kujiunga na wenzake kwa ajili ya kambi maalum inayoendelea.

Mshambuliaji huyo alishamalizana na Yanga kwa kuingia nao mkataba wa miaka miwili.

Pro huyo amepokelewa na viongozi wa Yanga katika Uwanja wa Ndege na sasa kinachofuata ni kambi ya moja kwa moja Morogoro.

Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search