banner

February 26, 2020

PICHA: WACHEZAJI WA YANGA WAKISEPA KWENYE MAKAZI YAO YA ZAMANI

PICHA: WACHEZAJI WA YANGA WAKISEPA KWENYE MAKAZI YAO YA ZAMANI

HIZI hapa picha za baadhi wachezaji wa Yanga ambao wameonekana wakihama kutoka kwenye makazi yao ya zamani maeneo ya Kariakoo ili kusaka makazi mapya. 

Uongozi wa Yanga umeeleza kuwa unafuatilia ili kujua kinachoendelea.


Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search