banner

April 03, 2024

BEKI CHIPUKIZI PASCAL MSINDO AJITIA PINGU AZAM FC HADI 2027

BEKI CHIPUKIZI PASCAL MSINDO AJITIA PINGU AZAM FC HADI 2027


BEKI wa kushoto, Pascal Gaudence Msindo (20) amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea na kazi Azam FC hadi mwaka 2027 baada ya kupandishwa kikosi cha kwanza kutoka timu ya vijana Julai 1, 2022.


source http://www.binzubeiry.co.tz/2024/04/beki-chipukizi-pascal-msindo-ajitia.html

Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search