TIMU ya Simba SC itashiriki michuano ya Kombe la Muungano inayoandaliwa kwa pamoja na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Shirikisho la Soka Zanzíbar (ZFF) kuazimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzíbar.
source http://www.binzubeiry.co.tz/2024/04/simba-sc-kushiriki-kombe-la-muungano.html
Post a Comment