KIKOSI ch Simba SC kimewasili salama Jijini Dar es Salaam kikitokea Singida ambako jana kilitoa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa LITI mjini humo.
Simba moja kwa moja inakwenda kambini kujiandaa na mchezo wake ujao wa Ligi Kuu dhidi ya mabingwa watetezi, Yanga SC Jumamosi ijayo Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
GONGA KUTAZAMA VÍDEO AHMED ALLY AKIZUNGUMZA BAADA YA MECHI YA JANA
source http://www.binzubeiry.co.tz/2024/04/simba-sc-warejea-dar-moja-kwa-moja.html
Post a Comment