banner

April 16, 2024

YANGA WALIVYOREJEA LEO DAR BAADA YA USHINDI WA 3-0 JANA KIRUMBA

YANGA WALIVYOREJEA LEO DAR BAADA YA USHINDI WA 3-0 JANA KIRUMBA


KIKOSI cha Yanga SC kimerejea leo Dar es Salaam kutoka Mwanza ambako jana kilipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa CCM Kirumba.
Yanga imeingia moja kwa moja kambini, Avic Town, Kigamboni nje ya Jiji la Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wake ujao wa Ligi Kuu dhidi ya watani, Simba Jumamosi Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
GONGA KUTAZAMA VÍDEO YANGA WALIVYOWASILI LEO DAR


source http://www.binzubeiry.co.tz/2024/04/yanga-walivyorejea-leo-dar-baada-ya.html

Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search