KIKOSI cha Yanga SC kimerejea leo Dar es Salaam kutoka Mwanza ambako jana kilipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa CCM Kirumba.
Yanga imeingia moja kwa moja kambini, Avic Town, Kigamboni nje ya Jiji la Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wake ujao wa Ligi Kuu dhidi ya watani, Simba Jumamosi Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
GONGA KUTAZAMA VÍDEO YANGA WALIVYOWASILI LEO DAR
source http://www.binzubeiry.co.tz/2024/04/yanga-walivyorejea-leo-dar-baada-ya.html
Post a Comment