banner

April 19, 2017

MAZOEZI YA MWISHO YA BARCELONA KABLA YA MTITI WA KESHO VS JUVENTUS

MAZOEZI YA MWISHO YA BARCELONA KABLA YA MTITI WA KESHO VS JUVENTUS

Baada ya kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Juventus ya Italia, Barcelona wamefanya mazoezi yao ya mwisho kabla ya mechi yao ya pili, kesho.


Mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ndiyo itakayoamua nani anakwenda nusu fainali kati ya timu hizo mbili.

Ikiwa nyumbani, kawaida Barcelona inafanya mazoezi yake kwenye uwanja wake wa nyumbani katika iambi ya La Masia jijini Barcelona.










Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search