Msafara wa kikosi cha Everton kinachoshiriki Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ umewasili asubuhi ya leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Gor Mahia inayotarajiwa kuchezwa kesho Alhamisi.
Katika msafara huo wa Everton uliowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere umepokelewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dr. Harrison Mwakyemberrison.
Waziri Mwakyembe alipata nafasi ya kusalimiana na staa wa timu hiyo, Wayne Rooney ambaye ametua kikosini hapo hivi karibuni akitokea Manchester United
Waziri Mwakyembe alipata nafasi ya kusalimiana na staa wa timu hiyo, Wayne Rooney ambaye ametua kikosini hapo hivi karibuni akitokea Manchester United
Post a Comment