banner

April 17, 2024

STEPHANE AZIZ KI NDIYE MCHEZAJI BORA WA YANGA MWEZI MACHI

STEPHANE AZIZ KI NDIYE MCHEZAJI BORA WA YANGA MWEZI MACHI

KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki amechaguliwa Mchezaji Bora wa Yanga kwa mwezi Machi.
Ki amewapiku beki Ibrahim Hamad ‘Bacca’ na kiungo Mudathir Yahya Abbas alioingia nao Fainali – na kwa ushindi huo atapatiwa kitita en cha Sh. Milioni 3 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya NIC Insurance.


source http://www.binzubeiry.co.tz/2024/04/stephane-aziz-ki-ndiye-mchezaji-bora-wa.html

Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search